Ambaye ni wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala hakuwa na mshirika katika ufalme, na akaumba kila kitu na akakikadiria kwa kipimo.
Notes placeholders
Mpendwa Sahaba wa Quran,
Tumejitolea kutumikia ulimwengu kupitia elimu ya Qur'ani pamoja na teknolojia, bila malipo.
Fursa nzuri ya kutoa sadaka endelevu (Sadaqa Jariyah). Wekeza katika Akhera yako kama mfadhili wa kila mwezi (au mara moja).