٨

Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.
٩
Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.
١٠
Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu.
Notes placeholders