Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
76:8
وَيُطۡعِمُونَ
ٱلطَّعَامَ
عَلَىٰ
حُبِّهِۦ
مِسۡكِينٗا
وَيَتِيمٗا
وَأَسِيرًا
٨
Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.
76:9
إِنَّمَا
نُطۡعِمُكُمۡ
لِوَجۡهِ
ٱللَّهِ
لَا
نُرِيدُ
مِنكُمۡ
جَزَآءٗ
وَلَا
شُكُورًا
٩
Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.
76:10
إِنَّا
نَخَافُ
مِن
رَّبِّنَا
يَوۡمًا
عَبُوسٗا
قَمۡطَرِيرٗا
١٠
Hakika sisi tunaiogopa kwa Mola wetu Mlezi hiyo siku yenye shida na taabu.
Notes placeholders
close