Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
68:34
إِنَّ
لِلۡمُتَّقِينَ
عِندَ
رَبِّهِمۡ
جَنَّٰتِ
ٱلنَّعِيمِ
٣٤
Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
68:35
أَفَنَجۡعَلُ
ٱلۡمُسۡلِمِينَ
كَٱلۡمُجۡرِمِينَ
٣٥
Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu?
68:36
مَا
لَكُمۡ
كَيۡفَ
تَحۡكُمُونَ
٣٦
Mna nini? Mnahukumu vipi?
Notes placeholders
close