٧٨

Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.
٧٩
Na Yeye ndiye aliye kuenezeni katika ardhi, na kwake Yeye mtakusanywa.
٨٠
Na Yeye ndiye anaye huisha na kufisha, na yake Yeye mabadiliko ya usiku na mchana. Basi je! Hamfahamu?
Notes placeholders