٣٣

Na Ishara hiyo kwao - ardhi iliyo kufa, nasi tukaifufua, na tukatoa ndani yake nafaka, wakawa wanazila!
٣٤
Na tukafanya ndani yake mabustani ya mitende na mizabibu, na tukatimbua chemchem ndani yake,
٣٥
Ili wale matunda yake, na hayo hayakufanywa na mikono yao! Basi je, hawashukuru?
Notes placeholders