٣٥

Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
٣٦
Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
084surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura
١
Itapo chanika mbingu,
٢
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
Notes placeholders