٤٠

Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
٤١
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
٤٢
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Notes placeholders