٢٤

Sema: Yeye ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa.
٢٥
Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
٢٦
Sema: Hakika ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu; na hakika mimi ni mwonyaji tu mwenye kubainisha.
Notes placeholders