Maryam 19:88 وقالوا اتخذ الرحمان ولدا ٨٨
Ukurasa 311 · Juzuu 16
وَقَالُواْ
ٱتَّخَذَ
ٱلرَّحۡمَٰنُ
وَلَدٗا
٨٨
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na hawa makafiri walisema, «Mwenyezi Mungu amejifanyia mtoto.»