Maryam 19:86 ونسوق المجرمين الى جهنم وردا ٨٦
Ukurasa 311 · Juzuu 16
وَنَسُوقُ
ٱلۡمُجۡرِمِينَ
إِلَىٰ
جَهَنَّمَ
وِرۡدٗا
٨٦
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na tutawaongoza wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwasuta kwa nguvu kuwapeleka Motoni, wakitembea kwa miguu, wakiwa na kiu.