٩٨

Na ukisoma Qur'ani mwombe Mwenyezi Mungu akulinde na Shetani maluuni.
٩٩
Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
١٠٠
Hakika madaraka yake ni juu ya wanao mfanya rafiki yao, na wale wanao fanya ushirika naye.
Notes placeholders