Siku mtapo iona, kila mwenye kunyonyesha atamsahau amnyonyeshaye, na kila mwenye mimba ataharibu mimba yake. Na utaona watu wamelewa, na kumbe hawakulewa. Lakini adhabu ya Mwenyezi Mungu ni kali.
Notes placeholders
Mpendwa Sahaba wa Quran,
Tumejitolea kutumikia ulimwengu kupitia elimu ya Qur'ani pamoja na teknolojia, bila malipo.
Fursa nzuri ya kutoa sadaka endelevu (Sadaqa Jariyah). Wekeza katika Akhera yako kama mfadhili wa kila mwezi (au mara moja).