١٦

Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
١٧
Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu.
١٨
Na hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu.
Notes placeholders