Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
23:75
۞ وَلَوۡ
رَحِمۡنَٰهُمۡ
وَكَشَفۡنَا
مَا
بِهِم
مِّن
ضُرّٖ
لَّلَجُّواْ
فِي
طُغۡيَٰنِهِمۡ
يَعۡمَهُونَ
٧٥
Na lau tungeli warehemu na tukawaondolea shida waliyo nayo bila ya shaka wangeli endelea katika upotofu wao vile vile, wakitangatanga.
23:76
وَلَقَدۡ
أَخَذۡنَٰهُم
بِٱلۡعَذَابِ
فَمَا
ٱسۡتَكَانُواْ
لِرَبِّهِمۡ
وَمَا
يَتَضَرَّعُونَ
٧٦
Na hakika tuliwatia adhabu kali; lakini hawakuelekea kwa Mola wao Mlezi wala hawakunyenyekea.
Notes placeholders
close