At-Takwyr 81:26 فاين تذهبون ٢٦
Ukurasa 586 · Juzuu 30
فَأَيۡنَ
تَذۡهَبُونَ
٢٦
Basi mnakwenda wapi? 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Akili zenu zawapeleka wapi katika kukanusha baada ya hoja hizi zilizo wazi na zenye nguvu?