Ar-Rahman 55:68 فيهما فاكهة ونخل ورمان ٦٨
Ukurasa 533 · Juzuu 27
فِيهِمَا
فَٰكِهَةٞ
وَنَخۡلٞ
وَرُمَّانٞ
٦٨
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kwenye mabustani hayo mawili kuna aina za matunda, mitende na mikomamanga.