An-Naziat 79:3 والسابحات سبحا ٣
Ukurasa 583 · Juzuu 30
وَٱلسَّٰبِحَٰتِ
سَبۡحٗا
٣
Na wanao ogelea! 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na kwa Malaika wanaoogelea katika kushuka kwao kutoka mbinguni na kupaa kwao kwenda mbinguni.