Al-Muuminun 23:35 ايعدكم انكم اذا متم وكنتم ترابا وعظاما انكم مخرجون ٣٥
Ukurasa 344 · Juzuu 18
أَيَعِدُكُمۡ
أَنَّكُمۡ
إِذَا
مِتُّمۡ
وَكُنتُمۡ
تُرَابٗا
وَعِظَٰمًا
أَنَّكُم
مُّخۡرَجُونَ
٣٥
Hivyo anakuahidini ati ya kwamba mtakapo kufa na mkawa udongo na mifupa kuwa mtatolewa? 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Vipi mtayaamini yale anayowaahidi kwamba nyinyi mkifa na mkawa mchanga na mifupa iliyovunjika vipande-vipande, kuwa mtatolewa kutoka kwenye makaburi yenu mkiwa hai?
«Vipi mtayaamini yale anayowaahidi kwamba nyinyi mkifa na mkawa mchanga na mifupa iliyovunjika vipande-vipande, kuwa mtatolewa kutoka kwenye makaburi …