Rrituni përtej Ramazanit!
Mëso më shumë
Identifikohu
Cilësimet
Përkthimi
Leximi
028
surah
Përkthim nga
Ali Muhsin Al-Barwani
(Ndryshimi)
Info për Suren
Luaj Audio
28:1
طسٓمٓ
١
T'A SIN MIM, (T'. S. M.)
28:2
تِلۡكَ
ءَايَٰتُ
ٱلۡكِتَٰبِ
ٱلۡمُبِينِ
٢
Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
28:3
نَتۡلُواْ
عَلَيۡكَ
مِن
نَّبَإِ
مُوسَىٰ
وَفِرۡعَوۡنَ
بِٱلۡحَقِّ
لِقَوۡمٖ
يُؤۡمِنُونَ
٣
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
28:4
إِنَّ
فِرۡعَوۡنَ
عَلَا
فِي
ٱلۡأَرۡضِ
وَجَعَلَ
أَهۡلَهَا
شِيَعٗا
يَسۡتَضۡعِفُ
طَآئِفَةٗ
مِّنۡهُمۡ
يُذَبِّحُ
أَبۡنَآءَهُمۡ
وَيَسۡتَحۡيِۦ
نِسَآءَهُمۡۚ
إِنَّهُۥ
كَانَ
مِنَ
ٱلۡمُفۡسِدِينَ
٤
Hakika Firauni alitakabari katika nchi, na akawagawa wananchi makundi mbali mbali. Akalidhoofisha taifa moja miongoni mwao, akiwachinja watoto wao wanaume na akiwaacha watoto wao wanawake. Hakika yeye alikuwa katika mafisadi.
Notes placeholders
close