Grow Beyond Ramadan!
Learn more
Sign in
Settings
Translation
Reading
23:55
أَيَحۡسَبُونَ
أَنَّمَا
نُمِدُّهُم
بِهِۦ
مِن
مَّالٖ
وَبَنِينَ
٥٥
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
23:56
نُسَارِعُ
لَهُمۡ
فِي
ٱلۡخَيۡرَٰتِۚ
بَل
لَّا
يَشۡعُرُونَ
٥٦
Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
23:57
إِنَّ
ٱلَّذِينَ
هُم
مِّنۡ
خَشۡيَةِ
رَبِّهِم
مُّشۡفِقُونَ
٥٧
Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
Notes placeholders
close